<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss' xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937</id><updated>2011-08-22T16:53:45.981+03:00</updated><title type='text'>Wamekula ya Mbuzi ...Wanaota Mapembe</title><subtitle type='html'>Migogoro mingi katika bara la Afrika hutokea kwa sababu ya Madaraka, Viongozi wengi wanapotaka kuingia madarakani hutoa ahadi zenye kuvutia kwa wananchi wao lakini mara wanapoingia madarakani utamu wa madaraka huwazidi na kujikuta wakijaribu kadri wawezavyo kubadilisha Katiba ili waendelee kuongoza. Hali ambayo huzusha migogoro. Ama kweli "Wamekula ya Mbuzi sasa Wanaota Mapembe".</subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default?max-results=100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>25</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>100</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-116219150053114010</id><published>2006-10-30T09:58:00.000+03:00</published><updated>2006-10-30T09:58:20.530+03:00</updated><title type='text'>Kimya kingi</title><content type='html'>Nilikuwa katika safari ndefu ya kutembelea mashamba yangu ya huko Kapunga ambayo serikali ilitaka kutoa zawadi kwa mwekezaji, lakini kwa sasa nimerudi na niko fiti kwa ajili ya kuendela na kijiwe changu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;pia nawaomba radhi wasomaji wangu kwa kuwa nimekuwa kimya kwa muda huo wote bila kuwaletea mpya zozote katika kona yangu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-116219150053114010?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='related' href='http://www.kazonta.blogspot.com/' title='Kimya kingi'/><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/116219150053114010/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=116219150053114010' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/116219150053114010'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/116219150053114010'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2006/10/kimya-kingi.html' title='Kimya kingi'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-115132334434262635</id><published>2006-06-26T14:28:00.000+03:00</published><updated>2006-06-26T18:56:27.926+03:00</updated><title type='text'>Bajeti ya Waziri Mkuu Hii Hapa!</title><content type='html'>Wapenzi wapitiaji wa kijiwe changu, nitakuwa nawapatia hotuba mbalimbali za mawaziri watakazokuwa wanazitoa hapa Bungeni mjini Dodoma kuhusiana na Bajeti za wizara zao, kwa jinsi nitakavyokuwa nazipata.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa leo naanza na hotuba hii ya Waziri Mkuu Bw. Edward Lowassa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Isome &lt;strong&gt;&lt;a href="http://h1.ripway.com/hkazonta/HotubaPMOfinal2006.doc"&gt;HAPA&lt;/a&gt;&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-115132334434262635?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/115132334434262635/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=115132334434262635' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/115132334434262635'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/115132334434262635'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2006/06/bajeti-ya-waziri-mkuu-hii-hapa.html' title='Bajeti ya Waziri Mkuu Hii Hapa!'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-114881405667413182</id><published>2006-05-28T13:50:00.000+03:00</published><updated>2006-05-28T14:00:56.690+03:00</updated><title type='text'>Ufukala umetukuta!</title><content type='html'>Nahisi hali inavyokwenda sio nzuri, kwa mtanzania wa kawaida kuweza kuhimili maisha ambayo yanazidi kuwa magumu zaidi kila kunapokucha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hebu fikiria pamoja na ugumu wa maisha uliopo sasa unaotokana na ukame na upungufu wa chakula ulioikumba nchi yetu na baadhi ya nchi jirani, limejitokeza tatizo lingine ambalo ni sawa na kupigilia msumari ndani ya kidonda!, tatizo hilo ni kupanda kwa bei ya mafuta.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bei hiyo imekuwa ikipanda kila kunapokucha na kufikia kipindi ambacho mwananchi wa kawaida kushindwa hata kulipia nauli ya Daladala kwa sababu ya nauli kupanda mara kwa mara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hali hii mtanzania hatakuwa na maisha bora hata siku moja kwani Njaa+ bei kubwa ya mafuta = Ufukara uliokithiri.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-114881405667413182?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/114881405667413182/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=114881405667413182' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/114881405667413182'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/114881405667413182'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2006/05/ufukala-umetukuta.html' title='Ufukala umetukuta!'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-114491327895977763</id><published>2006-04-13T10:27:00.000+03:00</published><updated>2006-04-13T10:27:58.970+03:00</updated><title type='text'>Muda mimba inatungwa ndio wa kuzaliwa mtoto?</title><content type='html'>juzi nilikuwa nimekaa kwenye kijiwe cha kahawa kama Bw. Ramadhan Msangi anavypenda kukiita kijiwe cha "Ghahawa" huku nikiwa naendelea kupata kikombe kimoja baada ya kingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya muda mfupi walipita kinadada wawili ambao walikuwa wanabishana, mabishano ambayo yalikuwa yamekolea kiasi cha kushindwa hata kuniona mimi wakati napata kahawa katika kijwe chetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mabishano na mada yao yalinivutia sana ndio maana nimeamua kuyapandisha katika kijiwe changu ili wageni wangu mnayetembelea kijiwe hiki mjaribu kuchangia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kinadada wale walikuwa wakibishana kuwa 'Eti muda ambao mimba inatungwa ndio muda huohuo mtoto atazaliwa?" kwani walidai kuwa hiyo ni kwa sababu watoto wengi wanazaliwa usiku ikiwa ni matokeo ya mimba nyingi kutungwa usiku.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mimi sijui ila nawaomba wachangiaji wangu mjaribu kudadavua kuwa ni kweli juu ya mada hii?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-114491327895977763?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='related' href='http://www.kazonta.blogspot.com/' title='Muda mimba inatungwa ndio wa kuzaliwa mtoto?'/><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/114491327895977763/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=114491327895977763' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/114491327895977763'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/114491327895977763'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2006/04/muda-mimba-inatungwa-ndio-wa-kuzaliwa.html' title='Muda mimba inatungwa ndio wa kuzaliwa mtoto?'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-114450988215092128</id><published>2006-04-08T18:15:00.000+03:00</published><updated>2006-04-08T18:31:58.436+03:00</updated><title type='text'>Azimio la Dodoma, ndio msimamo wetu!</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/1988/934/1600/124675495_a947002de9_m.jpg"&gt;&lt;img style="DISPLAY: block; MARGIN: 0px auto 10px; CURSOR: hand; TEXT-ALIGN: center" alt="" src="http://photos1.blogger.com/blogger/1988/934/320/124675495_a947002de9_m.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Hivi karibuni kilifanyika kikao cha wanamtandao wa magazeti tando, katika kikao hicho kilichofanyika mjini Dodoma kilipitia na kuweka taratibu mbalimbali ambazo zinashauriwa kufuatwa na wanamtandao popote pale Duniani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Soma &lt;a href="http://h1.ripway.com/rsmiruko/AzimiolaDodoma.doc"&gt;hapa &lt;/a&gt;maazimio ya kikao hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika picha hapo juu, kutoka kushoto ni Regnard Simoni, Hudson Kazonta, Martha Beatrice Mtangoo na Kipande ya jitu Mr. Mark Msaki, ambapo baada ya kikao wanamtandao walikuwa wakijadiliana baadhi ya mambo kwenye Kompyuta. (Picha kwa hisani ya Ibrahim Joseph)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-114450988215092128?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/114450988215092128/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=114450988215092128' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/114450988215092128'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/114450988215092128'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2006/04/azimio-la-dodoma-ndio-msimamo-wetu.html' title='Azimio la Dodoma, ndio msimamo wetu!'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-114450774616714671</id><published>2006-04-08T17:17:00.000+03:00</published><updated>2006-04-08T17:49:06.186+03:00</updated><title type='text'>Atapona mtu kweli!</title><content type='html'>Naanza kuandika kaujumbe haka kwenye kibaraza changu nikiwa na furaha tele moyoni, furaha ambayo miaka mingi ilifichika kutokana na maumivu ya dhuruma ambayo walala hoi tunafanyiwa na hawa wawekezaji hasa katika sekta ya madini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Furaha hii inatokana na angalau kuahidiwa na mkuu wa nchi yetu Rais &lt;a href="http://www.majira.co.tz/kurasa.html?soma=tanzania&amp;habariNamba=443"&gt;Kikwete&lt;/a&gt; alipokuwa akiwahutubia wananchi wa Botswana na kuwahakikishia kuwa mikataba yote iliyofungwa kwenye sekta ya Madini itapitiwa upya ili kuona ni jinsi gani inawafaidisha watanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii kwangu ni furaha inayotokana na ahadi ya kupitiwa upya kwa mikataba hiyo kwani mingi imekuwa ikifungwa na kuwanufaisha wachache hasa wawekezaji pekee ambao imefikia kipindi wanatoa sababu za kiufundi kuhalarisha matakwa yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mfano kwa muda mrefu sasa baadhi ya migodi, baada ya kuchimbwa, mchanga hubebwa na kusafirishwa na kupelekwa nje ya nchi huku sisi tukiachiwa mashimo kwa madai kuwa hapa nchini hakuna teknolojia ya kusafisha mchanga huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Licha ya hiyo ni hivi majuzi tu yametokea mauaji yaliyolipotiwa na vyombo vya habari juu ya mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite yanayodaiwa kufanywa na askari wa ulinzi wa kampuni moja ya uchimbaji madini huko Mererani, inayomilikiwa na wawekezaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kweli katika matukio kama haya watanzania wengi wamekuwa wakipoteza maisha yao kwa madai ya kulinda maslahi ya wawekezaji wasiokuwa na uchungu na nchi yetu na watanzania kwa ujumla.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vilevile jambo la kushangaza ni kuwa mali zetu zilezile tulizoachiwa na babu zetu zimesababisha damu yetu imwagike kwa madai ya kulinda maslahi ya wawekezaji, kitu ambacho hakikubaliki kabisa kwani sidhani wenzetu mnayeishi huko ughaibuni kama mnapendelewa kama sisi tunavyowapendelewa wa nchi za magharibi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo nina imani kuwa tamko la mkuu wa nchi litafanyiwa kazi kama alivyosema kuwa tayari wameanza kupitia mikataba hiyo ili kujua mustakabari wake na faida zake kwa nchi na watanzania kwa ujumla.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia ninachotaka kusisitiza kuwa wote watakaobainika kuwa walifunga mikataba hiyo kwa maslahi binafsi au kwa kujinufaisha wao wenyewe na familia zao, wachukuliwe hatua ikiwa ni pamoja na kufunguliwa kesi mahakamani ili warudishe mali za watanzania walizojinufaisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kweli kwa hali hii viongozi wa serikali zilizopita wawajibike kwa kuingia mikataba inayowaumiza wananchi itakayogundulika baada ya kukamilika upitiwaji upya wa mikataba hiyo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-114450774616714671?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/114450774616714671/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=114450774616714671' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/114450774616714671'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/114450774616714671'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2006/04/atapona-mtu-kweli.html' title='Atapona mtu kweli!'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-114442538807466224</id><published>2006-04-07T18:36:00.000+03:00</published><updated>2006-04-07T18:56:28.086+03:00</updated><title type='text'>Kitimoto ni nini?</title><content type='html'>Nimepita moja wapo ya kibaraza nimekuta mabishano juu ya ukweli wa madhara yaliyopo ndani ya KITIMOTO kama wengi wanavyopenda kumwita japo mimi hujiuliza mara nyingi maana halisi ya neno hilo na kushindwa kuipata.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mabishano hayo baadhi ya wachangiaji akiwemo Bw. Mkwinda alisema kuwa atahitaji siku moja kuwapata wataalamu wa afya ili watoe maelezo juu ya madhara ya nyama ya KITIMOTO kwani wengi wanahofia nyama yake kuwa ina madhara makubwa kwa afya ya binadamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na hayo mimi sio daktari na sio nia yangu kuzungumzia madhara yaliyopo katika kitimoto, lakini ukweli ni kwamba nyama hiyo yaweza kuwa TAMU kuliko aina zingine za nyama hapa duniani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukitaka kulijua hili siku moja tembelea kijiwe panapouzwa kitomoto halafu agizia nusu kilo pamoja na soda aina ya Coca cola, halafu taratibu anza kula kipande kimoja baada ya kingine ya nyama hiyo huku ukishushia na soda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sina shaka utafurahia kula nyama hiyo kwani imebarikiwa kwa kuwa na utamu wa pekee.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na hayo nawaachia wasomaji wa kibaraza hiki swali kuwa "ni kwanini nyama hiyo ikaitwa KITIMOTO?"&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-114442538807466224?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/114442538807466224/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=114442538807466224' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/114442538807466224'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/114442538807466224'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2006/04/kitimoto-ni-nini.html' title='Kitimoto ni nini?'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-114441436419587815</id><published>2006-04-07T15:49:00.000+03:00</published><updated>2006-04-07T15:52:44.210+03:00</updated><title type='text'>Nimerudi!</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Nimerudi!&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimekuwa kimya kwa muda mrefu katika safu hii, hii ilitokana na kujiweka sawa zaidi katika kuwapatia wasomaji wangu na wapenzi wa kutembelea mtandao wa blogu vitu vipya na bora zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na hali hiyo nimerudi upya katika safu hii ya kuwapatia habari mpya zenye mitazamo mbalimbali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Karibuni sana.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-114441436419587815?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/114441436419587815/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=114441436419587815' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/114441436419587815'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/114441436419587815'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2006/04/nimerudi.html' title='Nimerudi!'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-113619566223773198</id><published>2006-01-02T12:54:00.000+03:00</published><updated>2006-01-02T12:54:22.260+03:00</updated><title type='text'>Bila Utawala Bora ukeketaji kwa watoto wa kike hautakoma</title><content type='html'>WIZARA ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto kwa kushirikiana na Mtandao wa Kutokomeza ukeketaji Tanzania, hivi karibuni iliendesha mkutano wa siku tatu katika ukumbi wa CCT mjini Dodoma uliokuwa na lengo la kujadili athari za mila hiyo hatari kwa wasichana na watoto wa kike.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mila ambayo licha ya kupigwa vita na viongozi mbalimbali ikiwa ni pamoja vyombo vya habari na mashirika yasiyo ya kiserikali  katika kila kona ya nchi ambayo jamii ya sehemu hizo inakumbatia mila hiyo, mila hiyo hatari inaonekana kuendelea kuwa sugu zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkutano huo ulihusisha wadau mbalimbali wanaopambana na mila hiyo yakiwemo mashirika mbalimbali yasiyo ya kiserikali yanayofanya shughuli zake za kupambana na mila hiyo katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Dodoma, Singida, Musoma, Iringa, Manyara,Tanga, Morogoro,Pwani, Dar es salaam na mikoa mingineyo ambako mila hiyo inafanyika zaidi ukilinganisha na mikoa mingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadhi ya mashirika yasiyo ya Kiserikali yanayopiga vita mila hiyo ni  pamoja na AFNET Dodoma, WOWAP Dodoma, IAC matawi ya Dodoma, Kilimanjaro, Arusha, Tanga na Manyara, TAMWA, kituo cha sheria na haki za binadamu (LHRC), NAFGEM, AFNET Singida, TGNP, TAWLA, AYOHEP, IRA  na mradi wa utafiti na utunzaji wa nyaraka wa chuo kikuu cha Dar es salaam (WRDP).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ikumbukwe kuwa kwa mara ya kwanza Tanzania ilianza kushughulikia tatizo la ukeketaji mwaka 1994, baada ya mkutano wa kimataifa wa Cairo Misri, ambao ulipinga ukeketaji na kuhusisha na uvunjaji wa haki za binadamu, kwani suala la hilo lilionekana linaathiri zaidi maendeleo ya wasichana na wanawake na inapingana na haki za binadamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia katika mkutano wa wanawake uliofanyika  Beijing China mwaka 1995 suala hili lilijitokeza na kuonekana kuwa ni tatizo ambalo linazidi kuwadidimiza wanawake kwa kunyimwa haki yao na kuwaathiri zaidi kisaikolojia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kupigwa vita vitendo hivyo toka wakati huo, hali ya ukeketaji imekuwa bado ikiendelea katika jamii ya Watanzania hasa katika baadhi ya mikoa nchini, ambayo imeonekana kuikumbatia zaidi mila hiyo na kwa sasa kuanza kuifanya kwa siri kubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mkutano wa Afrika wa Mtandao  wa Kutokomeza Ukeketaji uliofanyika Jinja Uganda March, 2000 uliazimia kila nchi mwanachama iwe na tawi la mtandao huo ili iwe rahisi katika utendaji kazi wa kila siku na kuleta mafanikio katika vita dhidi ya mila hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo Desemba, 2001 katika Hotel ya Njuweni Kibaha Mkoani Pwani tawi la mtandao wa kudhiti ukeketaji Tanzania lilizinduliwa likiwa na wajumbe 15, ikiwa ni sehemu ya mkakati  wa serikali katika kupiga vita mila hiyo nchini na utekelezaji wa maazimio ya mkutano wa Afrika wa Mtandao wa kutokomeza mila hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kuzinduliwa kwa tawi hilo nchini ambapo mwenyekiti wake ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Bi. Hilda Gondwe, lilianza kufanya kazi yake kwa kutoa elimu na kuweka mikakati mbalimbali ya kuhakikisha kuwa mikoa inayoendeleza mila hiyo inaacha kufanya hivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mpaka sasa inaonesha kuwa Idadi ya mangariba waliosalimisha zana zao za kazi  na kuacha ukeketaji katika mikoa ya Manyara (98), Dodoma (83), Singida (96) na kutoka katika mkoa wa Ruvuma ni Mangariba 202.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mkutano huo wa mtandao wa kudhibti ukeketaji nchini ambapo mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Bw.Musa Nkhangaa, akitoa hotuba yake ya ufunguzi aligusia suala muhimu sana katika vita ya kupambana na mila hiyo hatari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkuu huyo alisema kama utawala bora utaimarika toka ngazi ya vitongoji, vita ya mila hiyo itakuwa na mafanikio makubwa kwani vitendo hivyo vinapofanyika jamii na viongozi wa sehemu husika hujua lakini huvifumbia macho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kama viongozi katika ngazi za vitongoji na vijiji watakuwa na utawala bora basi kutakuwa na uhakika wa kushinda vita dhidi ya mila hiyo ambayo ni ukatili mkubwa kwa wanawake na watoto wanapofanyiwa vitendo hivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa napenda kumuunga mkono Mkuu wa Mkoa kwa kufichua ukweli juu ya tatizo hilo ambalo serikali na wafadhiri wamekuwa wakitumia fedha nyingi sana katika kupambana na mila hiyo, na bado inaendelea kufanyika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sikubaliani kuwa mtoto katika mtaa fulani atakeketwa halafu Balozi wa mtaa huo asifahamu kuwa kuna mtoto katika mtaa wake kafanyiwa kitendo hicho hatari ambacho huweza kumsababishia maumivu na hata kumuambukiza magonjwa mbalimbali ikiwemo UKIMWI.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna kila sababu ya kuhakikisha kuwa viongozi hawa wanakuwa na elimu ya kutosha juu ya madhara ya mila hiyo ili wawe mabalozi wazuri katika kupiga vita ukeketaji ambao kwa sasa unafanyika kwa siri kubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama kutakuwa na utawala bora kutoka ngazi hizo na viongozi hao wa mitaa wakagundua umuhimu wa kupiga vita mila hiyo hatari, Serikali pamoja mashirika yanayopiga vita, yatakuwa na kazi rahisi itakayofanikisha kumaliza kabisa tatizo hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuhusu jambo hili serikali inatakiwa kuweka utaratibu maalum ambao utawabana viongozi wote wa mitaa na vijiji watakaoshindwa kutoa taarifa serikalini, ambao itabainika kuwa katika mitaa yao kuna watoto au wasichana wamefanyiwa ukeketaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kuwabana hivi ndio itakuwa rahisi kwao kutoa taarifa kwani kwa sasa inaonekana kama vile vita ya kupambana na mila hiyo inahusu viongozi wa serikali wa ngazi ya juu na si kutoka ngazi ya chini na mashirika fulani tu, hali inayosababisha jamii kuwa na mwitikio mdogo katika vita hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika utafiti  wa mwaka 1996 uliofanywa na DHS  ulibainisha kuwa ukeketaji umekithiri sana katika mikoa ya Arusha na Manyara 81%, Dodoma 68%, KIlimanjaro 37%, Iringa 27%, Singida 25%, Tanga 25%, Morogoro 20% na Dar es salaam 5.4% hali iliyoonesha kuwa kiwango cha ukeketaji nchini kipo juu sana kulingana na takwimu kutoka katika maeneo ya mikoa hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo kwa sasa baada ya serikali kuunga mkono vita dhidi ya ukeketaji, vitendo hivyo vimegeuka na kuanza kufanywa kwa siri zaidi hali inayosababisha madhara makubwa kwa waathirika wanaofanyiwa vitendo hivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imekuwa ni vigumu kwa mangariba wanaofanya vitendo hivyo kuwapeleka watoto na wasichana hao hospitali inapotokea matatizo, baada ya kuwafanyia vitendo hivyo kwa kuhofia kubanwa na sheria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo hali imekuwa mbaya zaidi kuliko ilivyokuwa hapo awali ambapo wasichana waliokeketwa waliweza kupelekwa hospitali na kupata matibabu kama itatokea matatizo baada ya kufanyiwa kitendo hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vilevile kwa sasa watoto wadogo ndio hasa wanaofanyiwa vitendo hivyo ambao hawawezi hata kujieleza au kuhisi ni nini wanafanyiwa, hivyo kuwanyima haki yao msingi ya kutoa maamuzi  kuhusiana na maumbile yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mfano hivi karibuni vyombo vya habari viliripoti  habari kutoka Mkoani Singida ambapo mtoto mchanga alikeketwa, hali ambayo inasikitisha na kutisha kwa mtoto mdogo tena mchanga kufanyiwa kitendo hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa naungana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa kuwatupia lawama viongozi wa ngazi ya vijiji na vitongoji kwa kutokuwajibika vilivyo kuzuia mila hiyo hatari ambayo inazidi kushika kasi katika baadhi ya mikoa hapa nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia naiomba Serikali kuweka mikakati maalumu ambayo itahakikisha kuwa viongozi hawa wa ngazi za vijiji na vitongoji wanashiriki vilivyo katika kuhakikisha kuwa vitendo vya ukeketaji havitokei tena katika maeneo yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kufanya hivyo ikiwa ni pamoja na kutoa elimu kwa jamii juu ya madhara ya mila hiyo Serikali itakuwa imepiga hatua nzuri katika vita dhidi ya mila hiyo ambayo humnyima mwanamke haki yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Napenda kusisitiza kuwa kuendelea kwa mila ya ukeketaji nchini, viongozi wa ngazi ya vijiji na vitongoji wanawajibika kwa kuvifumbia macho vitendo hivyo huku wakielewa fika kuwa ni uvunjaji wa sheria  na kinyume cha haki za binadamu kuendeleza mila hiyo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-113619566223773198?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='related' href='http://www.kazonta.blogspot.com/' title='Bila Utawala Bora ukeketaji kwa watoto wa kike hautakoma'/><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/113619566223773198/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=113619566223773198' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/113619566223773198'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/113619566223773198'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2006/01/bila-utawala-bora-ukeketaji-kwa-watoto.html' title='Bila Utawala Bora ukeketaji kwa watoto wa kike hautakoma'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-112987685959581417</id><published>2005-10-21T09:40:00.000+03:00</published><updated>2005-10-21T09:40:59.626+03:00</updated><title type='text'>'PCB imekumbuka blanketi kukiwa kumekucha'</title><content type='html'> &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HIVI karibuni Taasisi ya Kuzuia Rushwa Tanzania (PCB), iliendesha kongamano katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam, lililokuwa na lengo la kuweka mikakati ya kukabiliana na rushwa katika Uchaguzi Mkuu ujao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na mambo mengine kongamano hilo lilikuwa na lengo la kuhakikisha kuwa PCB inapambana vilivyo na vitendo vya rushwa ambavyo vinaweza kujitokeza katika uchaguzi huo, ambao ni muhimu  na nyeti nchini katika kujipatia viongozi ambao wamechaguliwa kihalali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kweli, kongamano hilo lilikuwa muhimu sana kwani yawezekana  mikakati yake na utekelezaji utakaochukuliwa baada ya hapa, utabadilisha kabisa mipango ya  baadhi ya wagombea kupanga kutoa rushwa kama njia ya kuungwa mkono na hivyo  kuchaguliwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hili kuna kila sababu ya kuipongeza taasisi hii muhimu sana katika kampeni zake za kupambana na mdudu rushwa ambaye kwa kweli ametanda na kuota mizizi katika kila sehemu ya nchi yetu, na matokeo yake kuzidi kuwatafuna wananchi wa tabaka la chini ambao ndio wengi zaidi hapa nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutafunwa huko kwa 'walalahoi',  kumekuwa kukiwakosesha Watanzania hao haki muhimu zaidi kwao kama vile katika kupewa huduma za kijamii zikiwemo matibabu, elimu, maji  na nyinginezo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;PCB imewahi kutafiti mambo mbalimbali ya kijamii kama pale ilipoweza kuzunguka nchi nzima na kusikiliza kero za wafanyakazi hususani walimu, na kubaini kwamba baadhi walikuwa wakikosa mishahara yao kutokana na baadhi ya Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya nchini 'kuitafuna'.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatua hiyo ilipokelewa kwa uzito na mvuto wa aina yake kwa Watanzania kwani pamoja na matokeo mengine lakini pia lilisababisha kusimamishwa kazi kwa karibu Wakurugenzi 15 wa halmashauri zilizohusika na ubadhilifu wa fedha za mishahara ya walimu na watendaji mbalimbali katika halmashauri zao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mpaka sasa bila shaka kuna kesi za watuhumiwa hao zikiwa zinaendelea kusikilizwa katika Mahakama mbalimbali baada ya kufikishwa mahakamani mara tu baada ya kusimamishwa kazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na mambo mengi mazuri ambayo yamefanywa na taasisi hiyo katika kampeni zake za kupambana na rushwa nchini, katika hili la kuitisha kongamano kuzungumzia rushwa kwenye uchaguzi, mimi naona kuwa wamechelewa mno kuweka mikakati yao ya kupambana na rushwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nalazimika kupingana na PCB, kwa vile mikakati ya kupambana na rushwa iliyojadiliwa karibuni, haikufaa kujadiliwa karibu wiki tatu kabla ya uchaguzi wenyewe kufanyika. Hili si sahihi kabisa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nasema hivyo nikiamini kwamba wakati wa uchaguzi, baadaye mwezi huu, sidhani kama kuna mgombea ambaye ataweza kutoa rushwa kwa wapiga kura wake, kwani ni vigumu mno kutoa rushwa kwa wapiga kura maelfu ambao watapiga kura siku hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mikakati kama hiyo ingefanyika wakati wa maandalizi ya kuwapata wagombea katika nafasi mbalimbali, michakato ambayo ilikuwa inafanywa na watu wachache wakiwawakilisha wengine kupitia vyama vyao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika michakato hiyo hasa tukiangalia katika Chama Cha Mapinduzi (CCM), kulikuwa na wagombea mbambali ambao walikuwa wanajitokeza na kuchukua fomu kisha kuanza kampeni ya kura  za maoni hatimaye kujikusanya kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya mkutano ambao ulikuwa una jukumu la kumchagua mgombea ubunge kupitia upigaji kura. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatua hii nadhani ndiyo iliyohusisha rushwa za kila aina ambayo nadiriki kusema haitatokea wakati mwingine wowote katika uchaguzi wa mwaka huu. Wagombea hawa walikuwa wakihakikisha kuwa wanakutana na karibu  wajumbe wote wa kura za maoni kutoka katika jimbo zima ili kuwashawishi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mazingira kama haya, mgombea alikuwa na uwezo wa kutoa rushwa kwa wapigaji kura wote au hata zaidi ya nusu ambao ana uhakika kuwa wangeweza kumpatia ushindi katika kura hizo za maoni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni katika kipindi hicho ndipo ilihitajika mikakati kama hiyo ya PCB ambayo wameiweka sasa, kwani ni katika kipindi hicho pia rushwa  ilipunguzwa makali  na kuhararishwa kwa kupewa jina la 'Takrima', na hivyo kuwapa nafasi baadhi ya wagombea kutoa rushwa hadharani na kudai kuwa ni takrima na si rushwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Si lengo langu kuwapinga PCB katika mikakati yao, bali hapa nataka kusema kuwa 'PCB wamekumbuka shuka wakati kumekucha', hii ni kweli kabisa kuwa katika uchaguzi mkuu ujao ambao utawashirikisha wananchi wote nchini wenye sifa ya kupiga kura hautakuwa na rushwa kama ilivyokuwa katika kura za maoni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni vigumu zaidi kutoa hongo kwa wananchi wote wenye sifa ya kupiga kura katika jimbo zima tofauti ilivyokuwa kwenye kura za maoni ambapo wajumbe wachache tu ndio walikuwa wanapiga kura.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii inaleta mashaka  kama ni kweli mikakati hiyo imelenga kuondoa rushwa katika uchaguzi huo kwani kwenye mchakato wa kura za maoni ndiko kulikuwa na kila aina ya rushwa ambazo zilikuwa zinatolewa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia hapa lazima kuwe na shaka kuwa kwa nini taasisi hiyo ilikaa kimya katika mchakato huo na sasa kuamka na kuanza kuweka mikakati kwenye sehemu ambayo hatuna uhakika kama kutakuwa na vitendo kama vilivyofanyika wakati huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hili inadhihirisha kuwa taasisi hiyo haiko huru kufanya mambo yake. Kura za maoni zilipambwa na Takrima kama ilivyoitwa na ilifikia kipindi baadhi ya wanachama wa CCM walitamka hadharani kuwa walitumia Takrima katika kupita kwenye kura za maoni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kusema hivyo PCB haikutoa tamko lolote juu ya ufuatiliaji wa mambo hayo, hali iliyofikia baadhi ya wanachama wa vyama hivyo kuiomba taasisi hiyo kuanzisha uchunguzi juu ya matukio hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ninachopenda kusema ni kuwa taasisi hiyo inapaswa kufanya kazi yake kwa kuendana na matukio yaliyoko katika wakati husika ili kupambana zaidi na vitendo ambavyo vinawakosesha haki wananchi wa kawaida hasa katika mchakato mzima wa uchaguzi kama huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ushahidi mzuri katika hili, unapatikana kwa wananchi wenyewe ambao sasa wameamua kuachana na ile hali ya ndio mzee, hali ambayo mwananchi alikuwa anakubaliana na kila linalosemwa na kiongozi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wananchi hawa katika kuonesha kukerwa kwao na vitendo hivyo wamekuwa wakiwazomea wagombea waliopatikana kwa njia hizo tena mbele ya wagombea wa ngazi ya urais na kudai kuwa hawawataki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hili ni fundisho kwao kutoka kwa wananchi na machungu ambayo wanaanza kuyapata wagombea hao waliotumia nguvu ya mali katika kushinda kura za maoni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa taasisi ijaribu kuangalia na kuchunguza kwenye maeneo ambayo wagombea hao walizomewa kujua je wagombea hao walipatikana kihalali au la!, ili kuondoa wasiwasi ambao umeanza kutanda juu ya utendaji wa PCB.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kufanya hivyo kutarudisha imani ya watanzania kwenye taasisi hiyo na itadhihirisha kuwa inafanya kazi kwa uhuru na kuondoa dhana kuwa rushwa ni ile inayotolewa na wananchi wa kawaida wakati viongozi wao hutoa Takrima na si rushwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ends&lt;br /&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-112987685959581417?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/112987685959581417/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=112987685959581417' title='8 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/112987685959581417'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/112987685959581417'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2005/10/pcb-imekumbuka-blanketi-kukiwa.html' title='&apos;PCB imekumbuka blanketi kukiwa kumekucha&apos;'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>8</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-112938350248584406</id><published>2005-10-15T16:34:00.000+03:00</published><updated>2005-10-15T16:38:22.496+03:00</updated><title type='text'>Mkapa anayo nafasi ya kuwapa HakiElimu kujirekebisha</title><content type='html'>HIVI karibuni  Rais Benjamin Mkapa, alipiga marufuku Taasisi ya HakiElimu kujishughukisha na masuala ya elimu katika kipindi cha siku 30 zilizosalia za uongozi wake, huku akiisukumizia lawama lukuki kuwa ni  wapotoshaji wa maendelea ya sekta ya elimu nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akihutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha Ikulu ndogo ya Chamwino, mjini hapa, ulioandaliwa na wanakijiji kwa ajili ya kumuaga,  Rais Mkapa, alisema taasisi hiyo imekuwa ikipotosha ukweli halisi wa hali ya elimu nchini na kuwashushia hadhi watendaji wake wakiwemo walimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema  hataki katika uongozi wake kusikia taasisi hiyo ikijihusisha na jambo lolote linalohusiana na elimu katika shule za hapa nchini na kuachia dhamana na majaliwa ya asasi hiyo mikononi mwa Rais wa awamu ya nne.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema Hakielimu wamekuwa wakipotosha elimu ya Tanzania kwa kutoa matangazo ambayo kwa njia moja au nyingine yalikuwa yanawajengea wananchi hali ya kudai haki bila wajibu.&lt;br /&gt;"Nasema katika uongozi wangu sitaki kusikia HakiElimu wanakanyaga katika shule zetu, ni wapotoshaji na ni ujinga kuwaruhusu watu kama hao," alisisitiza Rais Mkapa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema hata vumilia hata siku moja kuona ujinga huo ukiendelea katika nchi yake ambayo amepewa mamlaka na wananchi kuiongoza na kwamba hatua hiyo itaendelea hadi pale taasisi hiyo itakapo elimika na kuacha upotoshaji huo, na kuifanya Serikali kuangalia upya msimamo wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema hata wafadhili wanaoifadhili taasisi hiyo, wanatafuta uwezekano wa kuboresha elimu yao huko kwao na kufikia kiwango kizuri na kuhoji kwanini wadharau juhudi za kuinua elimu zinazofanywa na Serikali ya Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alitumia nafasi hiyo kumpongeza Waziri wa Elimu na Utamaduni, Bw.  Joseph Mungai kwa uamuzi wake wa kuipiga marufuku taasisi hiyo na kusema kuwa ni hatua sahihi. Hatua hiyo ya Rais Mkapa, imekuja baada ya asasi hiyo kulalamikiwa na Serikali kuhusu matangazo yake inayoyatoa katika vyombo vya habari kulenga kuipinga Serikali katika juhudi zake za kuiboresha elimu nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais Mkapa pamoja na kuzungumzia mambo mengi kuhusiana na asasi hiyo alimtaka Waziri wa Elimu na Utamaduni, Bw. Joseph Mungai,  kutobabaika katika uamuzi wake kwani imeonesha ni kiongozi shupavu na anayefaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kusema hivyo aliacha majaliwa ya asasi hiyo kwa Rais ajaye kama ataona mabadiliko yoyote ya kiutendaji katika asasi hiyo na kufikiria uamuzi wa kuirudisha tena kufanya kazi kwa mujibu wa taratibu za nchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ninavyojua mimi kiongozi wa nchi akibariki jambo ndio uamuzi wa mwisho au ni amri, amri hiyo ilianzia kwa Wizara ya Elimu na Utamaduni na baadaye baadhi ya wananchi  walisikika wakilalamika hatua hiyo na kuitaka Serikali kuangalia uwezekano wa kuiruhusu asasi hiyo kuendelea na kazi zake kama kawaida kabla ya sasa Rais Mkapa kubariki uamuzi wa Bw. Mungai.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na agizo hilo bila shaka sasa asasi hiyo ya HakiElimu haitafanyi kazi tena kwa mujibu wa amri iliyotolewa na Rais Mkapa, katika kukanyaga katika shule mbalimbali nchini, ingawa bado wanaweza kuendelea na kazi zao za kawaida.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi wa Rais Mkapa, huenda kwa njia moja au nyingine, ukawa uamuzi sahihi wenye lengo la kutetea maslahi ya nchi ambayo yanahakikisha kuwa taratibu za ndani ya nchi hazivunjwi na AZISE  zilizoanzishwa nchini kwa lengo la kukuza maendeleo ya sekta mbali mbali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HakiElimu pamoja na kuandaa na kutoa machapisho ambayo yalikuwa yanaipinga Serikali katika juhudi zake za kuendeleza elimu hapa nchini,  ilifanya baadhi ya mambo ambayo yalikuwa yanaeleza hali halisi ya mazingira ya elimu nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika baadhi ya mambo ambayo HakiElimu ilikuwa inafanya vizuri ni pamoja na kuonesha jinsi watoto walemavu walivyokuwa wanakosa haki zao kwa kuchanganywa na watoto wasio walemavu katika masomo yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HakiElimu kwa upande mwingine walijitahidi kuonesha ni jinsi gani pesa za MMEM zilivyokuwa zikiliwa na wafanyakazi wa ngazi ya juu katika Halmashauri za Wilaya kwa kuwaelekeza walimu sehemu za kununua vifaa vya shule.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia asasi hiyo ilikuwa inawasaidi wananchi kuibua hisia za kujua haki yao katika uendeshaji wa shule zilizopo katika maeneo yao ikiwa ni pamoja kujua mambo muhimu kama mapato na matumizi ya shule na taarifa muhimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande mwingine  asasi hiyo ilijaribu kuweka wazi baadhi ya kero za wanafunzi katika masomo yao kwa mfano, Serikali kudai kuwa haiwabagui watoto wenye walemavu na wasio na ulemavu wakati shule zinazojengwa zina ngazi ndefu ambazo zinawawia vigumu wanafunzi walemavu kuingia madarasani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yote haya yalikuwa mema ya asasi hiyo na mengine mengi ambayo yalifanywa katika mlolongo huo na  ambayo sio rahisi kuyataja yote  ili mradi kufikisha ujumbe kwa Watanzania kuhusiana na kero mbalimbali katika sekta ya elimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini basi sidiriki kubeza uamuzi uliotolewa na mkuu wa nchi, juu ya asasi hiyo na naamini kuwa, amefikiria kwa makini, amepitia vigezo mbalimbali  na kuamua kutoa uamuzi kama huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nadhani mantiki ya Rais Mkapa ni kwamba asasi hiyo imekuwa pinzani kwa kila jambo linalofanywa na Serikali katika harakati zake za kuboresha elimu, pasipo walau  siku moja kutamka kuwa kuna jambo  katika elimu ambalo limewafurahisha au limefikia kiwango kizuri na cha kupongezwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HakiElimu pia ilitoa machapisho mbalimbali ya utafiti ambayo yalikuwa yanaipinga Serikali katika ukuzaji wa sekta ya elimu, machapisho hayo  yalikuwa yanasambazwa mashuleni na yalikuwa yanawavunja moyo walimu pia kuwashushia hadhi zao katika juhudi za ufundishaji.&lt;br /&gt;Kama alivyozungumza Rais Mkapa,  wakati akitoa agizo hilo, alisema baadhi ya matangazo yake yalilenga kuwajengea tabia Watanzania ya kudai haki tu bila kuwajibika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Rais Mkapa, si rahisi kupata haki bila kuwajibika, bali kinachotakiwa ni  wajibu kwanza halafu haki inafuata, na pengine Serikali imebaini kwamba ungefikia wakati ambao wananchi wangepinga kila jambo linalofanywa na Serikali kuhusu elimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na mambo hayo, bado HakiElimu wanao muda wa kufikiria na kujirekebisha pale walipokuwa wanakosea kwani kwa mujibu wa Rais Mkapa,  Serikali itafikiria upya uamuzi wake pindi asasi hiyo itakapojirekebisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hali halisi, Serikali ya awamu ya nne ambayo imebakiza  kama mwezi mmoja tu kuingia madarakani,  inaweza kufikiria kuiruhusu asasi hiyo kuendelea na uhusiano na ushirikiano na shule za nchini,  kama itajirekebisha katika mambo ambayo yamesababisha kuzua mgogoro na Serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HakiElimu isikate tamaa, kwa sasa ikae chini na kuangalia ni mambo gani ambayo walikuwa wanakwenda kinyume na taratibu za Serikali, na baada ya kuyarekebisha waombe tena nafasi ili waweze kuendelea na kazi zao kama kawaida.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunaihitaji sana HakiElimu katika kuikosoa Serikali kwenye mambo ambayo inakwenda kinyume na Sera zake, lakini hatua hii ichukuliwe kama changamoto ya kudumisha na kukuza ushirikiano baina yake na Serikali, lengo likiwa ni kukuza kiwango cha elimu nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kukosolewa ni jambo la kawaida katika jamii, hivyo HakiElimu wachukulie agizo hilo la Serikali kama chachu ya kutumia nafasi hiyo kujadili na kurekebisha makosa yaliyopo ili kufufua umpya ushirikiano baina yake na Serikali.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-112938350248584406?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/112938350248584406/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=112938350248584406' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/112938350248584406'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/112938350248584406'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2005/10/mkapa-anayo-nafasi-ya-kuwapa-hakielimu.html' title='Mkapa anayo nafasi ya kuwapa HakiElimu kujirekebisha'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-112714128941043327</id><published>2005-09-19T17:30:00.000+03:00</published><updated>2005-09-19T17:48:09.423+03:00</updated><title type='text'>Kwa Muswati Raha sana</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/1988/934/1600/mswati.jpg"&gt;&lt;img style="FLOAT: right; MARGIN: 0px 0px 10px 10px; WIDTH: 312px; CURSOR: hand; HEIGHT: 234px" height="228" alt="" src="http://photos1.blogger.com/blogger/1988/934/320/mswati.jpg" width="318" border="0" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/1988/934/1600/mswati1.jpg"&gt;&lt;img style="FLOAT: right; MARGIN: 0px 0px 10px 10px; WIDTH: 323px; CURSOR: hand; HEIGHT: 225px" height="252" alt="" src="http://photos1.blogger.com/blogger/1988/934/320/mswati1.jpg" width="320" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/1988/934/1600/mswati4.jpg"&gt;&lt;img style="FLOAT: right; MARGIN: 0px 0px 10px 10px; WIDTH: 291px; CURSOR: hand; HEIGHT: 227px" height="239" alt="" src="http://photos1.blogger.com/blogger/1988/934/320/mswati4.jpg" width="303" border="0" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/1988/934/1600/mswati3.jpg"&gt;&lt;img style="FLOAT: right; MARGIN: 0px 0px 10px 10px; CURSOR: hand" height="225" alt="" src="http://photos1.blogger.com/blogger/1988/934/320/mswati3.jpg" width="324" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HUWEZI amini katika hali ya kawaida kwa nchi zetu za kiafrika jinsi zilivyoathirika na gonjwa la ukimwi ambalo siku hadi siku linazidi kuwa sugu na kupoteza maisha ya waafrika wengi hali inayosababisha kuwepo kwa mayatima wengi wanaoachwa na wazazi wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na hali hiyo Swaziland, nchi ambayo ni mojawapo kati ya nchi zilizoathiriwa sana na ugonjwa huo inaonekana baado sana wananchi wake hawajapata mwamuko wa kutosha katika vita ya kupambana na ugonjwa huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa nakuletea baadhi ya picha zilizopigwa za wasichana vigoli ambao walikuwa wakipita mbele ya mfalme wa nchi hiyo MUSWATI kwa ajili ya kuchaguliwa ili waolewe na mfalme huyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hali hii najua kwa wengi ni mtihani mgumu kwani kama unavyoona mwenyewe picha hizo kama ndio ungekuwa wewe ungevumilia kweli vifaa kama hivi vikipita mbele yako na kama ungeweza kuvumilia hebu nisaidie kuchagua kimwana mmoja ambaye unadhani alikuwa Bomba kuliko wote.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-112714128941043327?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/112714128941043327/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=112714128941043327' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/112714128941043327'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/112714128941043327'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2005/09/kwa-muswati-raha-sana.html' title='Kwa Muswati Raha sana'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-112634419738567392</id><published>2005-09-10T12:23:00.000+03:00</published><updated>2005-09-10T12:46:50.763+03:00</updated><title type='text'>Mzee wa Kiraracha hatuendi hivyo.</title><content type='html'>Ni muda sasa toka pazia la kampeni kufunguliwa na kuruhusu wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika vyama vya siasa nchini kunadi sera zao kwa wananchi kabla ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 30 mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni katika kipindi hiki ambapo tumeshuhudia wagombea wakijitokeza majukwaani wakijinadi kwa wananchi, kila mmoja akijitahidi kuainisha sababu zinazomfanya awaombe wananchi kumpa nafasi ya kumchagua ili awe kiongozi wao katika kipindi cha miaka mitano ijayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zoezi hilo pia limekuwa likienda sanjari na kuvinadi vyama vyao kupitia sera za vyama husika huku wagombea hao wakijitahidi kuainisha kile kilichoko ndani ya ilani au sera za vyama vyao, ambazo kwa ujumla zimelenga katika kumkwamua Mtanzania bila kujali kuwa ni kwa namna gani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kifupi ni kuwa, kipindi hiki ni muhimu sana kwa walio na hata wale wasiokuwa wanasiasa kwa ujumla, kwasababu pande hizo zote zinategemeana katika kufanikisha mchakato huu kwa ujumla wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni sawa na kipindi cha kukaribia msimu wa kilimo ambacho wakulima hukitumia kusafisha mashamba yao tayari kwa kupanda mbegu mvua zikianza.Kipindi hiki kinatumika kwa wanasiasa kuweka wazi mikakati yao ya baadae kwa wapiga kura wao ili waweze kuwachagua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Umuhimu wa kipindi hiki hauishii hapo tu kwani kwa upande wa wananchi hutarajia kujulishwa kwa kina wapi tulipokwama, kwanini tumekwama na kuainishiwa ni nani, kwanini na kwa namna gani atawaongoza kujikomboa kutoka katika lindi la umasikini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa bahati mbaya katika kampeni hizi kunajitokeza vitendo visivyo vya kistarabu kwa wapiga debe au viongozi wa vyama husika katika nafasi mbalimbali, kukitumia kipindi hiki kwa kuchafua majina ya wengine badala ya kuweka wazi sera zao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika ufuatiliaji wangu wa kampeni hizo toka zilipozinduliwa rasmi na Tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC), kuna baadhi ya wagombea na vyama vyao ambao hawajawahi kupanda jukwaani na kutangaza sera zao au za vyama vyao na badala yake kuona wamepata ulingo wa kuikashfu serikali na wagombea wa chama tawala.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni vyema ikafahamika kuwa Watanzania wa sasa sio wale tuliokuwa tunawafahamu katika miaka ya sabini na themanini. Watanzania waliokuwa wakiishi kwa utamaduni wa "ndio mzee", ambao walikuwa hawana uwezo wa kuhoji jambo ila kukubaliana nalo kwa vile limetolewa na kiongozi wa ngazi ya juu pasipo kujali baya au zuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Si lengo langu kuelezea kila jambo na kwa kila chama bali nataka kuangalia mwenendo mzima wa kampeni kupitia chama cha TLP maarufu kama "Jogoo", kinachoongozwa na "Mtaalamu wa mabomu au mzee wa Kiraracha", Augustine Mrema, ambazo zilianzia mkoani Mwanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mfuatiliaji mzuri wa kampeni atakubaliana nami kuwa, Mheshimiwa huyu toka alipozindua kampeni zake hajawahi kupanda jukwaani na kunadi sera kwa mantiki halisi ya sera zenye mrengo wa kumkwamua Mtanzania, kuwa anatarajia kufanya nini kwa wananchi endapo atachaguliwa kuiongoza nchi, kama ipo basi ilikuwa ni kibwagizo tu baada ya kumaliza kuiponda serikali na Chama cha Mapinduzi na viongozi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hili liko wazi na halina ubishi na kwa wananchi alimopita Mrema wataniunga mkoni kuwa kila anapopanda jukwaani husikika akikipaka matope Chama cha Mapinduzi na mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho Jakaya Kikwete kuwa ni wabadhirifu wala rushwa, wasiojali wananchi wake, hawafai kupewa uongozi na mambo mengineyo ili mradi nafsi yake iridhike kuwa amekiponda chama hicho vya kutosha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia amesikika kila mkutano anaohutubia akiwanyooshea vidole vingozi wa dini wakiwemo maaskofu kuwa wao ndio watakao changia kushindwa kwake eti tu kwa sababu baadhi yao walikwisha sema 'Kikwete ni Chaguo la Mungu'.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wananchi wengi husikika wakicheka na kushangilia anapohutubia haya, si dhani kama wananchi wanakuwa wameridhika na maneno yake au wanashangilia tu kuwa Mheshimiwa Mrema ni mtaalamu wa kusema porojo na wanajua kuwa hana sera.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mara kwa mara amesikika akisema kuwa Kikwete si Kijana ni mzee ila sura yake inasaidiwa na mkorogo tu, hili nalo hunifanya nicheke na hatimaye mbavu zangu kuuma, kwani sera ya Mrema ni ukijana au uzee? na uzee wa Kikwete yeye unamuathiri nini?.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Haya ni maswali ambayo hujiuliza kila mara na kukosa jibu la uhakika kwani kwa mwananchi wa kawaida anayetoka nyumbani kwake kwenda kwenye mkutano wa hadhara tena wa Rais mtarajiwa hatarajii mtu huyo kuanza kumzungumzia mpinzani wake eti kuwa ni mzee kwani yeye hajui hayo!.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nafikiri msemo mmoja wa zamani umempitia kando mheshimiwa huyu kuwa "Usiuze ng'ombe wako kwa kumponda wa mwenzio" kama yeye kaamua kuingia kwenye biashara hii basi aiuze kwa kutaja sifa za bidhaa yake na si kuiponda bidhaa ya CCM ambayo tayari iko sokoni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa njia moja ama nyingine atakuwa (bila yeye kujijua) anakijenga Chama cha Mapinduzi na kukipa sifa kubwa kwa wananchi kwani kukiponda tu bila kueleza sera zake ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu kwani wananchi hawatajua waende wapi na itawabidi wabaki walipo CCM kwani wewe huweki wazi sera zako watakuchaguaje? wakati huna sera unazozitangaza kwao?.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtu au mgombea wa aina hii hutoa nafasi kwa wananchi kumtilia mashaka kuwa hata wakimchagua ataongozaje nchi wakati hana sera na kama anazo haziweki wazi kwa wananchi ili waziweke kwenye mizani na kupima uzito ni zipi zinafaa kati ya za chama chake na vyama vingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ikumbuke kuwa viongozi wa dini ni watu muhimu sana katika kuleta amani katika nchi yetu na kama kwa sasa hana uhusiano nao na anawalaani kila mkoa anaopita itakuwaje kama atachaguliwa kuliongoza dola, si viongozi hawa watakuwa hatarini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mimi naamini kuwa maaskofu na viongozi wa dini hao ni miongoni mwa raia wa Tanzania hivyo wanayo haki ya kusema katika jamii jambo ambalo wanafikiria katika vichwa vyao ndio maana walisema kuwa Kikwete ni chaguo la Mungu kama wazo binafsi na lisilo wahusisha watu wengine au dini zao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa wafuatiliaji wa taarifa mbalimbali za vyombo vya habari, sidhani kama kuna mtu anayeweza kukubaliana na ukweli kuwa viongozi hao walifanya makosa kama anavyotaka kutuaminisha mgombea huyu, kwasababu hakuna hata sehemu moja ambako viongozi hao walisema kuwa misimamo yao ni misimamo ya waumini wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo isiwe sababu kuwa kwa vile baadhi ya viongozi hao walisema kuwa Kikwete ni chaguo la mungu basi ndio kweli limekuwa chaguo la Mungu ila chaguo hilo litajulikana hapo Oktoba 30 baada ya uchaguzi mkuu kufanyika ndipo tutajua chaguo la Mungu ni lipi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hali hii naweza kusema kuwa ni kufilisika kimawazo, Mtazamo, sera na malengo ya hapo baadae kwa kiongozi mkubwa kama Mrema kwani haifai kupoteza muda wa wapiga kura wanaojitokeza kuja kukusikiliza kwenye mikutano yako badala yake hawapati kitu walichofuata (sera) na kupata kashfa zinazoelekezwa CCM.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nakumbuka siku moja nilipohudhuria mkutano mmoja wa kampeni wa Mrema katika eneo la Mvumi misheni hivi karibuni mkoani Dodoma alipoanza kuhutubia na wananchi kumsikiliza walichoshwa na kashfa hizo na mmoja wao alipayuka na kusema "tunataka sera! na sio majungu".&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hali ya kawaida hapo awali katika miaka niliyoitaja huko nyuma sikutegemea mwananchi katika eneo kama hilo kuuliza kitu kama hicho ila imefika kipindi ambacho wananchi wanahitaji kiongozi mwenye mitazamo inayoridhisha na malengo mazuri katika kuhakikisha kuwa maisha yao yanaboreka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hiyo inathibitisha kuwa wananchi wa sasa sio wa "Ndio mzee" bali ni wananchi ambao wanataka kujua kuwa utakapoingia madarakani utashirikiana nao vipi na utawafanyia nini sio wao watakufanyia nini na hasa wanachojali ni sera zenye kuleta maendeleo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa napenda kushauri kuwa kama ndio mwenendo mzima wa kampeni za Chama Cha TLP zitakuwa namna hii bila kuwa na mabadiliko ya kuanza kutangaza sera yake ni heri fedha zinazogharamia kampeni zitumike kwa njia nyingine kwani kampeni bila kunadi sera ni sawa kuwaibia Watanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ikumbukwe kuwa fedha za kampeni ambazo vyama mbalimbali vinavyoshiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, sio fedha kutoka kwa wahisani bali ni fedha zilizopatikana kutokana na kodi za Watanzania hao hao ambao mnawadanganya na ambao wanauchungu na kodi zao kwasababu hawaoni kama zinawanufaisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vipo vyama vingi ambavyo vinafanya kampeni za 'Kugombania' badala ya kugombea kuingia Ikulu kwa kutokuwaeleza wananchi malengo yao bila kujua kuwa muda ni mfupi sana kama utatumiwa visivyo na ni mrefu sana kama utapangiliwa kwa njia nzuri kwa hiyo staili hii ya kampeni haifai na itafanya mpaka muda unakwisha wananchi ambao ndio walengwa hawajajua kuwa sera ya TLP na mgombea wake Mrema iko vipi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naamini kuwa chama cha TLP na mwenyekiti wake Augustine Mrema mna sera ya kutosha tena mpya kama Digrii yako iliyokuja kwa Faksi hivi karibuni tu ikimaanisha kuwa hata vumbi haijapata, hivyo muda huu ndio wa kunadi sera hizo na usitegemee kusoma magazeti ili kupata ushahidi wa kuiponda CCM na viongozi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia acha kuwalaumu na kuwalaani viongozi wa dini kwani hata wao wanaweza kukulaani, badala yake wafikishie wananchi ujumbe wa chama chako katika mikutano unayoihutubia ili wajue kuwa umelenga nini katika miaka mitano ijayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mzee wa Kiraracha tunataka sera zilizokufanya upande jukwaani kutuhutubia au wewe unapenda kupanda jukwaani na kuwatukana viongozi wa serikali kwa kuwatolea maneno ya kebehi wenzio haoo wanakata mbuga, na jua kuwa usije kumbuka shuka wakati kumekucha!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-112634419738567392?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='related' href='http://www.kazonta.blogspot.com/' title='Mzee wa Kiraracha hatuendi hivyo.'/><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/112634419738567392/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=112634419738567392' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/112634419738567392'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/112634419738567392'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2005/09/mzee-wa-kiraracha-hatuendi-hivyo.html' title='Mzee wa Kiraracha hatuendi hivyo.'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-112141224603497922</id><published>2005-07-15T10:14:00.000+03:00</published><updated>2005-07-15T10:24:06.040+03:00</updated><title type='text'>Mpwapwa wapata Askofu Mpya</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/1988/934/1600/Chimeledya2.jpg"&gt;&lt;img style="FLOAT: left; MARGIN: 0px 10px 10px 0px; CURSOR: hand" alt="" src="http://photos1.blogger.com/blogger/1988/934/320/Chimeledya2.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kanisa la &lt;a href="http://www.anglican.or.tz"&gt;Anglican &lt;/a&gt;Tanzania Dayosisi ya Mpwapwa  limemchagua askofu mwandamizi mpya atakaye chukuwa nafasi ya Askofu wa sasa atakapomaliza muda wake hapo mwaka 2007.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Tarifa iliyotolewa na Kanisa hilo na Kutiwa saini na Katibu mkuu wake Dr.Akili Mwita jana ilisema kuwa Askofu huyo atachukuwa  atachukuwa rasmi kiti cha uaskofu hapo mwaka 2007 baada ya skofu wa sasa kustaafu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taarifa hiyo ilisema kuwa Mchungaji Canoni Jacob Erasto Chimeledya (48) alichaguliwa tarehe 12/7/2005 na sinodi maalumu ya uchaguzi katika Kanisa Kuu la watakatifu wote mjini Mpwapwa, uchaguzi ambao pia ulihudhuriwa na katibu mkuu wa Kanisa Anglican Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uchaguzi huo ambao ulihudhuriwa na wajumbe wapatao 230 ulisimamiwa na Askofu wa Dudley Mageni wa D ayosisi ya morogoro na Askofu huo atachukuwa nafasi ya Askofu wa sasa Dr. Simoni Chimwanga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taarifa hiyo ilisema kuwa Ibada ya kumweka wakfu kuwa Askofu itafanyika Jumapili ya Tarehe 9/10/2005 ambayo itaongozwa na Mhashamu Askofu Mkuu Donald Mtetemela wa Kanisa Anglican Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Canon Chimeledya alizaliwa huko Zoisa katika wilaya ya Kongwa 1958 na kupata Elimu ya Shahada ya Theolojia  katika chuo Cha Paulo Mtakatifu huko Limuru nchini Kenya na baadae kupata Shahada ya Uzamili wa Theolojia katika  chuo cha Virginia huko Marekani mwaka 2003.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taarifa hiyo ilisema kuwa Canon Chimeledya ameshawahi kufanya kazi mbalimbali, kuwa kasisi wa mitaa na kwa sasa ni Mkuu wa Chuo cha Theolojia  cha Mt. Filipo cha Kongwa, pia ameoa na ana watoto wanne.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-112141224603497922?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/112141224603497922/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=112141224603497922' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/112141224603497922'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/112141224603497922'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2005/07/mpwapwa-wapata-askofu-mpya.html' title='Mpwapwa wapata Askofu Mpya'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-112012396606958713</id><published>2005-06-30T12:22:00.000+03:00</published><updated>2005-06-30T12:32:46.076+03:00</updated><title type='text'>WANA-BLOG WALITOA RAMBIRAMBI KUPITIA BLOG KWENYE MSIBA WA MNARC VIVIEN FOE</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/1988/934/1600/mbeki21.jpg"&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/1988/934/1600/mbeki21.jpg"&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Hawa ni baadhi ya &lt;a href="http://www.blogofdeath.com/archives/000060.html"&gt;wanaBlog&lt;/a&gt; waliomkumbuka mchezaji maarufu wa Timu ya Taifa ya Cameroon na Mchezaji mahili wa Manchester City, Marc Vivien Foe, aliyefariki uwanjani katika mechi kati ya nchi ya Ufaransa na Cameroon mwaka 2003.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kifo cha kishujaa katika hali ya kawaida kwani alikuwa akitetea nchi yake kuweza kuingia fainali katika mashindano hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa wakati huo Marc Vivien Foe alikuwa mchezaji wa timu ya Manchester City Kiungo wa kutegemewa katika timu hiyo &lt;a href="http://www.manchesteronline.co.uk/sport/football/manchestercity/s/62/62304_state_funeral_for_foe.html"&gt;Soma &lt;/a&gt;hapa habari kamili.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-112012396606958713?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/112012396606958713/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=112012396606958713' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/112012396606958713'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/112012396606958713'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2005/06/wana-blog-walitoa-rambirambi-kupitia.html' title='WANA-BLOG WALITOA RAMBIRAMBI KUPITIA BLOG KWENYE MSIBA WA MNARC VIVIEN FOE'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-112012272819616042</id><published>2005-06-30T12:02:00.000+03:00</published><updated>2005-06-30T12:12:08.196+03:00</updated><title type='text'>HUU UKOMAVU WA KIUONGOZI</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/1988/934/1600/mbeki21.jpg"&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/1988/934/1600/mbeki21.jpg"&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Katika nchi zetu nyingi za Kiafrika ni vigumu sana na ninaweza kusema kuwa hiwezekani kwa mataifa mengine isipokuwa tu kwa Rais aliyeonekana kuwa amekomaa kimsimamo na anaye lilia haki ya wananchi wake Huyu si mwingine ni Raisi wa Afrika ya Kusini &lt;a href="http://www.anc.org.za/ancdocs/history/mbeki/"&gt;Thabo&lt;/a&gt; Mbeki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa huyu pasipo lawama wala papara amemfukuza kazi Makamu wake wa Rais ndugu Jacob &lt;a href="http://www.anc.org.za/people/zumaj.html"&gt;Zuma&lt;/a&gt; kwa kuhusishwa na ulaji wa rushwa katika uongozi wake.kitendo hiki si kigumu tu kwa mfukuzaji bali hata kwa wananchi wenyewe kukubaliana nacho kwani tumesha sikia kuwa baadhi ya vyombo vya habari vikitangaza kuwa Wapambe wake ambao ni miongoni mwa wananchi wa nchi hiyo wakipinga kufukuzwa kwake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hiki ndicho kilichonifanya hata mimi kukumbuka &lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/1988/934/1600/mbeki21.jpg"&gt;&lt;img style="FLOAT: right; MARGIN: 0px 0px 10px 10px; CURSOR: hand" alt="" src="http://photos1.blogger.com/blogger/1988/934/320/mbeki21.jpg" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;ile kashifa ya sukari ambayo iliishia kwa mhusika kuambiwa kuwa ajiuzuru kwa manufaa ya umma, kwa kweli uamuzi kama huu kwa nchi yetu bado ni kitendawili kwani yanafanbyika hata yaliyomakubwa zaidi ya hili la mheshimiwa Zuma lakini wahusika huambiwa wajiuzuru kwa maslahi ya Taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi hii ni kwa maslahi ya Taifa au yake Binafsi?, kwani yeye akijiuzuru taifa litafaidika vipi? zaidi ya kumwacha yeye akitumia tu yale mavumba ambayo ameyapata kutokana na ukiukaji wa sheria alioufanya? kwa nini aifukuzwe na kupelekwa mahakamani kama huyu Mh. Zuma?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kweli inawezekana kwa kiongozi kufanya kosa na kufukuzwa kama alivyofanya mwenzetu wa huko Afrika ya Kusini na kupelekwa mahakani, bali kinachofanya jambo hili lishindikane ni kulindana kwa baadhi ya viongozi ambao wanakuwa madarakani na kushindwa kutumia dhamana yao waliopewa na wananchi&lt;em&gt;.&lt;/em&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-112012272819616042?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/112012272819616042/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=112012272819616042' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/112012272819616042'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/112012272819616042'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2005/06/huu-ukomavu-wa-kiuongozi.html' title='HUU UKOMAVU WA KIUONGOZI'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-111755721190696585</id><published>2005-05-31T19:33:00.000+03:00</published><updated>2005-05-31T19:33:31.906+03:00</updated><title type='text'>Mwanablog aenda kuongeza Elimu Dhidi ya Mazingira</title><content type='html'>kwa kweli hakuna kitu kizuri katika maisha ya sasa kama Elimu ambayo kama wengi wetu tunavyofahamu kuwa ni msingi wa maisha yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na hayo katika haya na kwa kutambua umuhimu huo mwanachama mwenzetu katika Blogu amekwenda katika kozi ya kuongeza ujuzi katika fani ya mazingira ndani ya Chuo Kkuu Cha Mt. Augusitine mjini Mwanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huko ndiko Chimbuko la wanablogu wote kwani karibu asilimia kubwa ya wanablog wamepitia katika chuo hicho wakichukua kozi mbalimbali kama vile Kozi ya Mazingira nk. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;kwa ajili ya kumsoma mwana blogu huyo bonyeza &lt;a href="http://www.zainathy.blogspot.com/"&gt;&lt;strong&gt;hapa&lt;/strong&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-111755721190696585?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='related' href='http://kazonta.blogspot.com/' title='Mwanablog aenda kuongeza Elimu Dhidi ya Mazingira'/><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/111755721190696585/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=111755721190696585' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/111755721190696585'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/111755721190696585'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2005/05/mwanablog-aenda-kuongeza-elimu-dhidi.html' title='Mwanablog aenda kuongeza Elimu Dhidi ya Mazingira'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-111632143997787656</id><published>2005-05-17T12:17:00.000+03:00</published><updated>2005-05-17T12:17:19.980+03:00</updated><title type='text'>Ukimwi Bado ni tatizo kubwa kwetu sisi vijana.</title><content type='html'> UKWELI ni kwamba Ugonjwa huu umekuwa ni tishio kubwa sana katika rika la vijana ambalo ndio nguvu kazi kubwa ya Taifa letu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Licha ya juhudi mbalimbali za mashirika yasiyokuwa ya kiserikali pamoja na serikali kwa ujumla bado imeonekana kuwa juhudi hizo hazijaeleweka vizuri kiasi kwamba, maambukizo kuendelea kuwa makubwa katika kila siku na kila mahali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Soma hapa ili kuona baadhi ya mashirika hayo na sehe,mu yanakojishughulisha na utoaji wa huduma za kujikinga na virusi vya ukimwi ikiwa ni pamoja na ushauri nasaha na mafunzo mbalimbali.Mkoani Dodoma kuna shirika la&lt;a href="http://www.cmsr.org/reciproco/tanzania.htm"&gt;&lt;strong&gt; CMSR&lt;/strong&gt;&lt;/a&gt;na &lt;a href="http://www.worldbank.org/aids-econ/tanz-report/"&gt;&lt;strong&gt;TACAIDS&lt;/strong&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-111632143997787656?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='related' href='http://www.kazonta.blogspot.com/' title='Ukimwi Bado ni tatizo kubwa kwetu sisi vijana.'/><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/111632143997787656/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=111632143997787656' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/111632143997787656'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/111632143997787656'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2005/05/ukimwi-bado-ni-tatizo-kubwa-kwetu-sisi.html' title='Ukimwi Bado ni tatizo kubwa kwetu sisi vijana.'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-111590737255580211</id><published>2005-05-12T17:16:00.000+03:00</published><updated>2005-05-12T17:23:56.433+03:00</updated><title type='text'>Mke wa Rais wa Kenya aingia studio na kuleta fujo.</title><content type='html'>Kama katika historia ya wanawake na wake wa viongozi wa nchi mama Lucy Kibaki atakumbukwa zaidi na wanahabari hasa baada ya kuwa na hali ya kutokuelewana baina ya mama Lucy Kibaki Mke wa Rais wa Kenya Mwai Kibaki na Vyombo vya Habari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokuelewana huko kwa kweli kumefikia hatua mbaya hali ambayo ilifika kipindi mama huyo akamuwasha vibao mpiga picha mmoja wa TV mjini Nairobi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali hii imewashitua wanahabari wengi ulimwenguni na mimi nikiwa miongoni mwa jamii ya wanahabari nimeamua kuwawekea habari hii ili na nyinyi muweze kusoma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili kupata habari kamili bonyeza &lt;a href="http://www.eastandard.net/hm_news/news_is.php?articleid=19978"&gt;&lt;strong&gt;hapa.&lt;/strong&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-111590737255580211?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='related' href='http://kazonta.blogspot.com/' title='Mke wa Rais wa Kenya aingia studio na kuleta fujo.'/><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/111590737255580211/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=111590737255580211' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/111590737255580211'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/111590737255580211'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2005/05/mke-wa-rais-wa-kenya-aingia-studio-na.html' title='Mke wa Rais wa Kenya aingia studio na kuleta fujo.'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-111590519372866660</id><published>2005-05-12T16:39:00.000+03:00</published><updated>2005-05-12T16:39:53.736+03:00</updated><title type='text'>Hivi kwa hali hii tutapata maendeleo?</title><content type='html'>&lt;style type="text/css"&gt;.flickr-photo { border: solid 1px #000000; }.flickr-frame { float: left; text-align: center; margin-right: 15px; margin-bottom: 15px; }.flickr-caption { font-size: 0.8em; margin-top: 0px; }&lt;/style&gt;&lt;div class="flickr-frame"&gt;	&lt;a href="http://www.flickr.com/photos/59554524@N00/13389591/" title="photo sharing"&gt;&lt;img src="http://photos11.flickr.com/13389591_848979e7b3_t.jpg" class="flickr-photo" alt="Kuna siri gani ndani ya maua?" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;	&lt;span class="flickr-caption"&gt;		&lt;a href="http://www.flickr.com/photos/59554524@N00/13389591/"&gt;Kuna siri gani ndani ya maua?&lt;/a&gt;,&lt;br /&gt; originally uploaded by &lt;a href="http://www.flickr.com/people/59554524@N00/"&gt;kazonta&lt;/a&gt;.	&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kuwa Tanzania ni masikini sana, nchi hii imebarikiwa kwa kuwa na aina mbalimbali za madini katika ardhi yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Madini haya yametanda karibu kila kona ya nchi hii ukianzia pembe ya kusini hadi kasikazini mwa nchi, na kwa bahati kubwa ni nchi pekee ambayo imebahatika kuwa na madini ya Tanzanite.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Madini haya ni madini pekee ambayo yanapatikana katika Tanzania tu, na ni Madini yenye thamani kubwa zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kuwa na utajiri mkubwa wa madini na vitutio mbalimbali kama mlima Kilimanjaro, Mbuga mbalimbali za Wanyama, wananchi wake bado wako katika wimbi kubwa la umasikini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Umasikini huuumekuwa ukiongezeka kila kunapokucha na kufanya hali za wananchi hata kumudu chakula cha kila siku kuwa ni matatizo na kufanya baadhi ya watu kutokufikisha milo miwili kwa siku.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lanini basi ni kwanini wananchi wa Tanznia wanazidi kuwa masikini wakati kuna maliasili za kutosha katika maeneo yao?.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hili ni swali ambalo mimi hujiuliza mara kwa mara na kukosa jibu la uhakika kwani hakuna sababu ambayo inaweza kutolewa kwa watu ikakubalika kama si makosa ya Serikali kutokuweka sera sahihi juu ya wananchi wake na wageni ambao sisi huwaita kama wawekezaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Serikali kwa hili inapaswa kuwajibika kwani imekuwa ikiangalia na kukaa kimya bila kuweka mikakati sahihi ya kuwalinda wazawa wa Taifa hili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hili linazidi kujidhihirisha hasa baada ya wawekezaji kuja na kuwekeza kwenye sekta ya madini ambao wamesababisha migogoro mbalimbali kati yao na wachimbaji wadogo wadogo wa madini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Serikali badala ya kuweka mazingira mazuri na kuhakikisha inaweka mikakati sahihi ya kuwalinda wananchi wake ambao ni masikini, imekuwa ikiwakumbatia zaidi wageni na kusababisha wananchi hawa kutumia nguvu katika kudai maeneo yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni nani ambaye hajawahi kusikia migogoro ya wachimbaji wa madini ya Tanzanite na wamiliki wa ardhi wa kigeni huko Mirelani?, ni kweli kuwa migogoro hii ipo na muwajibikaji ni serikali kwa kutowatengea wachimbaji hawa maeneo maalum.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia jambo jingine imekuwa ni kawaida kwa wachimbaji madini kutoka nje ya nchi kuja kuchimba madini na kuchukua hata ile michanga ya madini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa hebu fikiria kuwa kama hata tu ule mchanga unachimbuliwa na kupelekwa nje ya nchi kwa kisingizio eti kuwa hapa hakuna kiwanda ambacho kinaweza kufanya usafishaji wa madini hayo, hatuoni kuwa tunakuza soko la ajira kwa wenzetu Ulaya?.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati sasa umefika kwa serikali kuweka mikakati sahihi ya kuhakikisha kuwa wawekezaji wanapokuja hapa nchini wanapewa mazingira ambayo yatawalazimu kujenga viwanda hapa nchini ili kukuza soko la ndani la ajira kwa wananchi wa Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwisho.&lt;br clear="all" /&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-111590519372866660?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/111590519372866660/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=111590519372866660' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/111590519372866660'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/111590519372866660'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2005/05/hivi-kwa-hali-hii-tutapata-maendeleo.html' title='Hivi kwa hali hii tutapata maendeleo?'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-111563194106657745</id><published>2005-05-09T12:45:00.000+03:00</published><updated>2005-05-09T12:45:41.090+03:00</updated><title type='text'>8/5 KILA MWAKA FURAHIA MAMA NI SIKU YAKO</title><content type='html'> Haya mama hii ni siku  maalu kwa ajili yako, hivyo basi pamoja na huruma zako zote ulizonionyesha katika harakati za kunilea, ni muda wako sasa kusherekea na kukumbuka machungu yote yaliyokupata katika harakati za kunilea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HONGERA &lt;a href="http://home.ripway.com/2005-4/289770/mamayangu.doc"&gt;&lt;strong&gt;MAMA &lt;/strong&gt;&lt;/a&gt;kwa siku yako  nzuri kama hii.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-111563194106657745?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='related' href='http://www.kazonta.blogspot.com/' title='8/5 KILA MWAKA FURAHIA MAMA NI SIKU YAKO'/><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/111563194106657745/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=111563194106657745' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/111563194106657745'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/111563194106657745'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2005/05/85-kila-mwaka-furahia-mama-ni-siku.html' title='8/5 KILA MWAKA FURAHIA MAMA NI SIKU YAKO'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-111364574546736448</id><published>2005-04-16T13:02:00.000+03:00</published><updated>2005-04-16T13:02:25.466+03:00</updated><title type='text'>Hivi ni kweli Dodoma haina uwezo wa kuwa na Chuo Kikuu?</title><content type='html'>Dodoma ni makao makuu ya nchi ya Tanzania na inapatikana katikati ya nchi ikiwa na wakazi takribani zaidi ya million moja ambao wanatoka katika makabila mbalimbali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa ujumla &lt;a href="http://www.darhotwire.com/dar/Fahamu/travel/maps_directory/images/regions/dodoma.html"&gt;&lt;strong&gt;Dodoma &lt;/strong&gt;&lt;/a&gt;ni mkoa ambao wakazi wake wakuu ni kabila la Wagogo ambao ni karibu zaidi ya nusus ya wakazi wa hapa wakifuatiwana kabila la Warangi ambao wao hupatikana zaidi katika wilaya ya Kondoa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama mikoa mingine wakazi wa Dodoma hujishughulisha na shughuli za kilimo ikiwemo kilimo cha mtama, mahindi, Karanga pia hujishughulisha zaidi na ufugaji wa wanyama kama ng'ombe mbuzi na kondoo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na hayo Dodoma ni makao makuu ya nchi yetu ambayo mkoa huu ulipewa hadhi hiyo toka enzi za mwalimu Nyerere.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;pamoja na kupewa hadhi ya kuwa makao Makuu ya nchi mkoa huu bado uko nyuma zaidi katika maswala ya kielimu, hii ni kutokana na kutokuwa na taasisi yoyote inayotoa elimu ya juu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii kwa njia moja ama nyingine imekuwa ikirudisha nyuma maendeleo ya Mkoa huu kwa njia moja ama nyingine kwani tunakubaliana kuwa bila elimu mwanadamu hata pata maendeleo thabiti.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kutokana na hili basi imenibidi kujiuliza ni kwa nini mkoa huu ukakosa taasisi inayotoa elimu ya juu katika kipindi chote hicho toka utangazwe kuwa makao makuu ya nchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hili ni swali ambalo kwa siku nynigi limekuwa likiniumiza kichwa pasipo kulipatia majibu sahihi, kuhusu mustakabali mzima wa elimu mkoani hapa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tukumbuke kuwa hapo awali mkoa wa Dodoma ulikuwa na tatizo kubwa sana la maji ambalo kwa sasa halipo tena.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali hii ilisababisha wananchi wengi wa Mkoani hapa kupata ugonjwa wa Trachoma ambao ulishambululia sana macho na kusababisha wananchi wengi kupata upofu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;hivyo basi kama tatizo la mzji halipo tena kwanini Mkoa bado unakosa chuo kikuu hata kimoja?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;NAOMBA MCHANGO WAKO KUHUSU MADA HII KOKOTE ULIKO BAADA YA HAPO NITAIMALIZIA .......! &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-111364574546736448?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='related' href='http://kazonta.blogspot.com/' title='Hivi ni kweli Dodoma haina uwezo wa kuwa na Chuo Kikuu?'/><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/111364574546736448/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=111364574546736448' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/111364574546736448'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/111364574546736448'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2005/04/hivi-ni-kweli-dodoma-haina-uwezo-wa_16.html' title='Hivi ni kweli Dodoma haina uwezo wa kuwa na Chuo Kikuu?'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-111279270525590665</id><published>2005-04-06T15:48:00.000+03:00</published><updated>2005-04-06T16:05:05.256+03:00</updated><title type='text'>Professa Mark Mwandosya arudisha fomu.</title><content type='html'>WAZIRI wa mawasiliano na uchukuzi &lt;a href="http://www.parliament.go.tz/bunge/Bunge.asp?Menu=110&amp;fpkey=11&amp;amp;vusername=GUEST"&gt;Pro. Mark Mwandosya &lt;/a&gt;amerudisha fomu hivi karibuni ya kuomba baraka za kuteuliwa kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na kusema kuwa anaomba baraka za kugombea Utumishi wa nchi na si utawala wa nchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pro. Mawandosya ambaye alikabidhi fomu za wadhamini 250 wa mikoa 10 miwili ikiwa ya Tanzania visiwani, kwa Katibu wa mipango wa CCM taifa Bw. Jackson Msome ambaye alipokea fomu hizo kwa niaba ya katibu Mkkuu wa CCM taifa Bw. Philip Mangula katika ofisi ya makao makuu ya chama hicho mjini hapa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwandosya ambaye alikuwa ameongozana na mkewe Bibi Lucy Mwadosya, mwanaye wa kwanza Max Mwandosya, Mchumi msaidizi wake Bw. Filbert Meena na msaidizi wake wa karibu Bw. Peter Katto.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akiongea muda mfupi baada ya kukabidhi fomu hizo Pro. Mwandosya alisema kuwa yeye hagombei nafasi ya juu ya utawala  bali anagombea nafasi ya juu ya utumishi kwa kuwa hapa nchini hakuna mtawala binafsi zaidi ya chama ambacho ni CCM.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Nagombea nafasi ya juu ya utumishi na si nafasi ya utawala kwa kuwa najua nchi hii inamtawa mmoja tu ambaye ni CCM ambaye atatawala miaka nenda rudi lakini si mtu binafsi ndiyo mtawala” alisisitiza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kuwa mpaka sasa kuna baadhi ya wanaoomba kuteuliwa kuwa wagombea urais tayari wamekanza kujiita wagombea na kusahau kabisa kuwa wao si wagombea nafasi hiyo ya utumishi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Hapa katika fomu zangu pameandikwa saini ya muombaji na wala hapajaandikwa saini ya mgombea urais sasa tunasahau kuwa sisi bado si wagombea urais ila waombaji wa kuteuliwa kuwa wagombea nafasi hii”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisisitiza kuwa katika siasa ndani ya chama hakuna mtu mwanasiasa maarufu pekee bila chama na kuongeza kuwa hakuna muombaji wa kuteuliwa kuwa mgombea nafasi hiyo maarufu ambaye si mwana CCM.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha Pro. Mwandosya alisema kuwa katika uchaguzi huu hakuna mtu ambaye atashinda wala kushindwa  zaidi ya chama husika kushinda au kushindwa na si mtu binafsi.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Hapa napenda nikukumbusheni ndugu zangu kuwa tusijisahau na kufikiria kuwa kama ukishindwa katika uchaguzi mkuu huu utakuwa ni wewe hapa takayeshindwa au kushindwa kitakuwa ni chama husika na si mtu binafsi”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;aidha Pro. Mwandosya aliwakumbusha baadhi ya wanoomba baraka hizo kuwa wasijisahau na kuona kupendwa ndio kigezo kikubwa cha kuteuliwa kuwa mgombea wa urais katika awamu ya nne.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kuwa kuna baadhi ya wagombea ambao walijiwekea taratibu zao wakati wa kutafuta wadhamini jambo ambalo lilileta, hamasa, vitimbi na vurugu nakuongeza kuwa hizo ni tabia za baadhi ya wanadamu ambao hupenda kujionyesha kuwa wanapendwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Napenda tu kuwaambia wana CCM kuwa hali hii ni sawa na tishio kwa wanaofanya maamuzi kuwa msiponichagua ni mizengwe”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha aliwahukuru wana ccm wote ambao walijitokeza kumdhamini na wal;e ambao hawakupata nafasi hiyo ya kumdhamini na kuongeza kuwa iwapo ataipata nafasi hiyo ya utumishi basi atawatumikia kwa moyo wake wote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Sina cha kuwalipa zaidi ya kuwaahidi kama nitaipata nafasi hiyo basi nitawatumikia kwa moyo wangu wote , kwa nia yangu yote na kwa akili zangu zote” alisisitiza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;mwisho&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-111279270525590665?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/111279270525590665/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=111279270525590665' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/111279270525590665'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/111279270525590665'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2005/04/professa-mark-mwandosya-arudisha-fomu.html' title='Professa Mark Mwandosya arudisha fomu.'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-111217608364902618</id><published>2005-03-30T12:48:00.000+03:00</published><updated>2005-03-30T12:48:03.650+03:00</updated><title type='text'>WAMEKULA YA MBUZI.... WAKAOTA MAPEMBE</title><content type='html'>&lt;a href="http://www.kazonta.blogspot.com/"&gt;WAMEKULA YA MBUZI.... WAKAOTA MAPEMBE&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-111217608364902618?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='related' href='http://www.kazonta.blogspot.com/' title='WAMEKULA YA MBUZI.... WAKAOTA MAPEMBE'/><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/111217608364902618/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=111217608364902618' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/111217608364902618'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/111217608364902618'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2005/03/wamekula-ya-mbuzi-wakaota-mapembe.html' title='WAMEKULA YA MBUZI.... WAKAOTA MAPEMBE'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-11483937.post-111098252100651715</id><published>2005-03-16T16:57:00.000+03:00</published><updated>2005-03-16T17:15:21.013+03:00</updated><title type='text'>HIVI UKABILA UNA NAFASI KATIKA MBIO ZA KUMTAFUTA RAIS MWAKA HUU?</title><content type='html'>Ni swali gumu sana katika uwezo wa kichwa changu kuweza kulipatia jibu sahihi ambalo kila mtu au walio wengi wanaweza kukubaliana nalo au kulirekebisha kiurahisi na kuleta maana halisi niliyokusudia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Si swali ambalo mtu mwingine anaweza kujiuliza labda linatokana na mahesabu ya kutumia kikokotozi au ni mahesabu ya kimetriki La hasha! Ni swali ambalo linatakiwa utumie busara na akili zako za kuzaliwa ili uweze kulijibu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande mwingine hujaribu kulifananisha swali hili na mchezo wa karata tatu, ikimaanisha mchezo wa pata potea au kitendawili ambacho jibu lake ni gumu lazima upewe mji ili uweze kukiteguwa, hiyo ilikuwa enzi zetu za miaka ile tulipokuwa tunatengeneza magari kwa kutumia udongo au mabua ya mahindi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kihistoria nchi yetu imepitia katika vipindi vitatu tofauti vya uongozi, ambapo viongozi watatu tofauti waliongoza nchi yetu kufikia hapa tulipo huku tukitizamia ni nani atakuja kurithi jahazi hili katika kuipindi cha nne baadae mwaka huu,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika vipindi hivyo ambavyo kwa njia moja ama nyingine vilikuwa ni vipindi vya mpito ambavyo, vilihitaji viongozi wenye msimamo ukiwa hasa wa kujenga umoja na utaifa usiozingatia rangi, kabila au itikadi ya kidini, hali ambayo kwa njia moja ama nyingine naweza kusema kuwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliifanikisha kazi hiyo kiuthabiti kabisa!.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kujenga misingi imara ya umoja wa taifa letu na wananchi kujiona kama ni watoto wa familia moja ikimaanisha kuwa wote ni watanzania pasipo kujali tofauti zao Mwalimu Nyerere alimtupia kazi ya kuliongoza jahazi la nchi yetu kwa kiongozi mwingine maarufu ndugu Alhaji AlHassani Mwinyi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kuwa tayari misingi mizuri ya umoja wa taifa ilikuwa imejengwa na mwalimu kazi moja tu aliyokuwa nayo Ndugu Mwinyi ilikuwa ni kuhakikisha kuwa mipango yote iliyoachwa na Mwalimu inakamilishwa na kuanzisha mipango mingine yeynye lengo la kuendeleza nchi yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakuna ambaye anaweza kupinga hili kuwa katika enzi za uongozi wa Mwinyi, alifunguwa milango ya kila kitu ambacho kilikuwa adimu kwa hapo awali na kufanya bidhaa zote muhimu zinamfikia mwananchi wa kawaida popote pale nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kwa njia hii alijizolea umaarufu kwa wananchi wake ambapo ilifikia kipindi tukamjua kwa jina maarufu kuwa “Mzee Ruksa” ikimaanisha kuwa kila kitu ilikuwa ni ruhusa kukitumia utakavyo ili mradi tu usivunje sheria!.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hali wengi walilalamika kuwa uchumi wa nchi ulishuka, hasa thamani ya pesa ilikuwa chini, hali ambayo ilifanya kijana wa kawaida asiyefanya kazi kuwa na pesa nyingi ambazo zilisababisha mfumko wa bei kuwa katika kiwango cha juu zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakuishia hapo tu bali alihakikisha kuwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambao unaunda Tanzania unadumu na kuendelea kuwepo katika ramani ya Dunia na kufanya nchi yetu kuwa miongoni mwa nchi chache zilizoweza kudumu katika muungano wa nchi mbili katika muda mrefu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada kumaliza ngwe yake ya miaka 10 kama katiba yetu inavyoonyesha na kuruhusu kuongoza, alimwachia tena rais wa awamu ya tatu Ndugu Benjamin William Mkapa usukani wa kuiongoza Tanzania yetu ikiwa katika hali ya utulivu na amani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia kitu cha muhimu zaidi ambacho kiliweza kufanyika chini ya rais huyu wa awamu ya tatu ni hali ambayo nchi yetu iliweza kubadilisha historia yake na kuingia katika mfumo wa vyama vingi kutoka kwenye mfumo wa chama kimoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kuwa wananchi wengi hawakuwa tayari kupokea mfumo huo kwa kudhani kuwa ilikuwa ni sababu ambayo ingeweza kusababisha machafuko nchini na kupoteza utulivu tuliokuwa nao, lakini kwa busara za kiongozi huyu pamoja na muasisi wa Taifa hili Mwalimu Nyerere walishawishi ngazi husika na hatimaye vyama vingi nchini vikaruhusiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya hapo rais wa awamu ya tatu Ndugu &lt;strong&gt;&lt;em&gt;&lt;a href="http://www.ccmtz.org/hotuba/050215mkiti.htm"&gt;Benjamin William Mkapa&lt;/a&gt;&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;, alichukua uongozi wa nchi akiwa rais wa kwanza Tanzania chini ya mfumo wa vyama vingi mwaka 1995.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kazi kubwa aliyokuwa nayo ilikuwa ni pamoja na kufufua uchumi wa nchi yetu ambao ulionekana kulegalega na kuhakikisha kuwa mfumo wa bei na hali za kimaisha kwa watanzania zinaboreshwa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa miundo mbinu yote muhimu inaundwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni ukweli mtupu kama mimi ningekuwa na uwezo wa kubadili katiba ili Mr.  Ben aweze kuongoza tena katika kipindi kingine cha miaka hata 20 ningefanya hivyo ili tu kuhakikisha kuwa anabaki madarakani na kuendeleza mipango yake ya baadae.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini nina kila sababu za kumpongeza rais wetu mpendwa kwa kuthamini na kujali katiba ya nchi kama inavyoeleza kuwa kiongozi wa ngazi ya juu serikalini kama rais ataweza kukaa madarakani kwa vipindi viwili vya uongozi tu ikimaanisha miaka kumi tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hili amejali na kufanya hvyo licha ya wadau mbalimbali wa duru za kisiasa kumuomba na kumshauri kuwa aweze kubadilisha katika na hatimaye kuongoza, kwa nampongeza sana “HONGERA SANA MR. BEN” kwa kufuatilia katiba ya nchi, hii inaonyesha ni kiasi gani umekomaa kisiasa na kutokuwa na tamaa ya madaraka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dunia nzima ukimtaja Benjamin Mkapa wanamfahamu kama enzi hizo Baba wa Taifa Mwalimu &lt;strong&gt;&lt;em&gt;&lt;a href="http://www.ccmtz.org/0historia.htm"&gt;Nyerere &lt;/a&gt;&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;alivyosifika kwa ujasili wa kutokuona haya kusema ukweli,  naye raisMkapa amesifika kuwa ni kiongozi shupavu na mwenye uwezo wa kuongoza bila kutetereka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hili tuna kila sababu ya kumshukuru mungu kwa kutujalia viongozi wenye uwezo wa kuongoza nchi vizuri, hasa hasa kuhakikisha kuwa usalama na umoja wa nchi yetu unaendelea kudumu na kutuelekeza vyema ili kuyafikia hayo maendeleo endelevu katika karne hii ya sayansi na teknolojia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa nimejaribu kugusia japo kwa kidogo tu uongozi wa awamu zote tatu kuanzia uhuru hadi sasa chini ya rais Mkapa, ambapo kumekuwa na tofauti kubwa sana ya kimaendeleo toka nchi yetu ipate uhuru enzi hizo tukinunua sabuni kwa kupanga Mstari hadi sasa tukinunua sabuni kwa kuletewa mlangoni, raha iliyoje!.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na hayo mwaka huu tupo katika vuguvugu jingine la kumtafuta kuiongozi wa nchi yetu katika uchaguzi mkuu baadae mwaka huu ambapo tunategemea kuwa kiongozi tutakaye mpata basi aendeleze mazuri yote yaliyoanzishwa na viongozi hawa waliomtangulia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunapofikia hapa, tena swali moja ambalo hunisumbua sana kichwani kama hpo mwanzo nilianza kwa kusema kuwa ni kitendawili au ni swali la kutumia kikokotozi ili kuweza kulijibu, hali ambayo huwa sipati njia sahihi ya kupata jibu hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Historia inaonyesha kuwa katika Tanzania  viongozi wote walioiongoza nchi hii wametoka katika makabila madogo tu ambayo hayana majina makubwa kulinganisha na makabila mengine nchini ambayo yana nguvu na uwezo mkubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Swali langu haliishii hapo, je nini athari za viongozi kutoka kwenye makabila madogo katika uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu? Je historia itajirudia tena?.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hili swali hunisumbua sana ndio maana nimeamua kuliandikia makala haya, kuwa historia inaonyesha kuwa viongozi wote wa ngazi ya juu waliowahi kuiongoza nchi yetu wametoka katika makabila madogo sana hapa nchini na je nini athari zake kwa uchaguzi wa mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa hatuzungumzii ukabila kama wa Rwanda na Burundi au Wahutu na Watsi ambao kila wanapokutuna ujue kuwa hapo shughuli ipo ni kuwahiana tu na kumalizana ama kwa mapanga au silaha zozote zinazoweza kupatikana katika eneo hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bali ukweli ni kwamba tunajadili majaaliwa ya nchi yetu hapo baadae, huku tukikumbuka kuwa nchi yetu haina Dini wala Kabila maalumu bali watu wake wana makabila yao na dini zao hili hata mwalimu mwenyewe enzi za kuijenga nchi yetu alilikemea kwa nguvu zote na hili halina mjadala ndio maana nimepata jeuri ya kulijadili hili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tuchukue kuwa mwalimu Nyerere alitoka katika kabila dogo sana linaloitwa kabila la Wazanaki kutoka katika mkoa wa Mara, ni kabila dogo sana ambalo lilitoa kiongozi shupavu sana na wakuheshimika duniani kote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia rais Mwinyi alitoka katika kabila dogo tu huko Zanzibar, ambaye naye aliweza kufanya yaleyale ya kuiongoza nchi katika misingio sahihi na safi ambayo iliifikisha nchi katika hatua hiyo iliyoendelezwa na Ndugu Mkapa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukija kwa ndugu yangu ambaye mimi hupenda kumwita Mr. Ben, yeye naye katoka huko kusini kwenye kabila moja dogo tu la Mmakonde, pia naye kama wenzake amefanya maajabu na kuingoza Tanzania kwa staili yake hali iliyofanya kila mtu kumlilia yeye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa nimelenga kuuliza umma kuwa je yale yaliyotokea hapo awali ya kuwa na viongozi bora kutoka kwenye makabila madogo yasiyo na majina yataendelea tena kutoa viongozi wa kundi hilo hilo au itakuwa tofauti kwa mwaka huu?.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa njia moja ama nyingine nchi yetu inahitaji kiongozi aliyeshupavu mwenye uwezo wa kiutendaji anayeweza kuwajibika kwa watu wake kwa muda wake wote atakao kuwa madarakani ili kuhakikisha kuwa anafanya yaliyomema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama kiongozi mmoja anayewania uongozi huo alivyosema kuwa Tanzania haijawa maabara ya kujaribia viongozi na hapa tujue kuwa kabila haina maana ya kuwa ndio kigezo cha kutoa kiongozi bora bali ni uwezo wa mtu binafsi ndio utakao amuru ni nani anaweza kufanya vizuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vilevile misingi ya uongozi iliyowekwa na Mwalimu Nyerere toka anadai uhuru wa nchi yetu  ndio itumike kuhakikisha kuwa nchi yetu inaendeleza uongozi mzuri na kuhakikisha kuwa amani inaendelea kudumu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo basi hili swali siku zote huwa linaumiza kichwa changu katika kinyang’anyiro cha kuwania urais miongoni mwa wagombea waliojitokeza kuchukua fomu za kuomba lidhaa ya wanachama wa vyama vyao ili waweze kugombea urais kupitia vyama vyao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa njia moja ama nyingine jibu la swali hili litakuwa wazi baada ya vyama kuteuwa wagombea wao wenye uwezo wa kuongoza umma wa watanzania pasipo kujali Kabila , dini wala ukanda kwani nchi yetu inaendeshwa kwa njia za kidemokrasia na demokrasia hiyohiyo ndiyo itakaye amua kuwa nani anafaa pasipo kumuangalia usoni au kabila lake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo basi  ni nafasi ya vyombo husika kama Halmashauri kuu ya CCM na vyama vingine kuhakikisha kuwa vinateuwa viongozi safi wasio na mawaa ambao watafuata nyao za viongozi waliopita na kutuletea mafanikio mazuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Elimu, uwezo wa kuongoza, jitihada binafsi, kutokuwa na ubinafsi, kuwajali walio chini na kutumia muda mwingi kuwatumikia wananchi ni mojawapo ya sifa ambazo rais ajaye anatakiwa kuwa nazo na si sifa ya ukabila, udini na ukanda, Mungu ibariki Tanzania  ipate kiongozi mwenye kujali wananchi wake!.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/11483937-111098252100651715?l=kazonta.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kazonta.blogspot.com/feeds/111098252100651715/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=11483937&amp;postID=111098252100651715' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/111098252100651715'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/11483937/posts/default/111098252100651715'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kazonta.blogspot.com/2005/03/hivi-ukabila-una-nafasi-katika-mbio-za.html' title='HIVI UKABILA UNA NAFASI KATIKA MBIO ZA KUMTAFUTA RAIS MWAKA HUU?'/><author><name>ARUPA</name><uri>http://www.blogger.com/profile/02368502521058327311</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>3</thr:total></entry></feed>
