"Kupanga ni Kuchagua"

Kila mwanadamu ana mamlaka ya kubadilisha maisha yake kwa kutumia mazingira aliyo nayo! Mipango mibovu ya maisha yake husababisha maisha yake kuwa mabovu na Mipango bora ya maisha yake husababisha maisha yake kuwa Bora. Hivyo basi chagua maisha yako unataka yaweje?

Thursday, June 30, 2005

WANA-BLOG WALITOA RAMBIRAMBI KUPITIA BLOG KWENYE MSIBA WA MNARC VIVIEN FOE



Hawa ni baadhi ya wanaBlog waliomkumbuka mchezaji maarufu wa Timu ya Taifa ya Cameroon na Mchezaji mahili wa Manchester City, Marc Vivien Foe, aliyefariki uwanjani katika mechi kati ya nchi ya Ufaransa na Cameroon mwaka 2003.

Ni kifo cha kishujaa katika hali ya kawaida kwani alikuwa akitetea nchi yake kuweza kuingia fainali katika mashindano hayo.

Kwa wakati huo Marc Vivien Foe alikuwa mchezaji wa timu ya Manchester City Kiungo wa kutegemewa katika timu hiyo Soma hapa habari kamili.

0 Comments:

Post a Comment

<< Home