Wamekula ya Mbuzi ...Wanaota Mapembe

Migogoro mingi katika bara la Afrika hutokea kwa sababu ya Madaraka, Viongozi wengi wanapotaka kuingia madarakani hutoa ahadi zenye kuvutia kwa wananchi wao lakini mara wanapoingia madarakani utamu wa madaraka huwazidi na kujikuta wakijaribu kadri wawezavyo kubadilisha Katiba ili waendelee kuongoza. Hali ambayo huzusha migogoro. Ama kweli "Wamekula ya Mbuzi sasa Wanaota Mapembe".

Monday, September 19, 2005

Kwa Muswati Raha sana





HUWEZI amini katika hali ya kawaida kwa nchi zetu za kiafrika jinsi zilivyoathirika na gonjwa la ukimwi ambalo siku hadi siku linazidi kuwa sugu na kupoteza maisha ya waafrika wengi hali inayosababisha kuwepo kwa mayatima wengi wanaoachwa na wazazi wao.

Pamoja na hali hiyo Swaziland, nchi ambayo ni mojawapo kati ya nchi zilizoathiriwa sana na ugonjwa huo inaonekana baado sana wananchi wake hawajapata mwamuko wa kutosha katika vita ya kupambana na ugonjwa huo.

Hapa nakuletea baadhi ya picha zilizopigwa za wasichana vigoli ambao walikuwa wakipita mbele ya mfalme wa nchi hiyo MUSWATI kwa ajili ya kuchaguliwa ili waolewe na mfalme huyo.

Katika hali hii najua kwa wengi ni mtihani mgumu kwani kama unavyoona mwenyewe picha hizo kama ndio ungekuwa wewe ungevumilia kweli vifaa kama hivi vikipita mbele yako na kama ungeweza kuvumilia hebu nisaidie kuchagua kimwana mmoja ambaye unadhani alikuwa Bomba kuliko wote.

1 Comments:

  • At 5:50 PM EAT, Anonymous Anonymous said…

    Singapore, Malaysia warn bloggers
    INSULTS: Some defend jail terms for Internet users who post racist commentary, but others say the punishments are simply an extension of state controls over expression AP , KUALA LUMPUR AND SINGAPORE Monday, ...
    Hey there, you've got a great blog here! I'm thinking of bookmarking your site!

    I have a digital camera memory site. It pretty much covers digital camera memory
    related stuff.

    Come and check it out if you get time :-)

     

Post a Comment

<< Home