Kimya kingi
Nilikuwa katika safari ndefu ya kutembelea mashamba yangu ya huko Kapunga ambayo serikali ilitaka kutoa zawadi kwa mwekezaji, lakini kwa sasa nimerudi na niko fiti kwa ajili ya kuendela na kijiwe changu.
pia nawaomba radhi wasomaji wangu kwa kuwa nimekuwa kimya kwa muda huo wote bila kuwaletea mpya zozote katika kona yangu.
pia nawaomba radhi wasomaji wangu kwa kuwa nimekuwa kimya kwa muda huo wote bila kuwaletea mpya zozote katika kona yangu.



5 Comments:
At 12:31 PM EAT,
ndesanjo said…
Ulipotea muda mrefu kweli. Karibu.
At 11:21 AM EAT,
mwandani said…
kwani yale mashamba hayakuchukuliwa na mwekezaji?
karibu tena.
At 2:54 PM EAT,
msangimdogo said…
choka mbaya nini!!!
At 3:27 AM EAT,
ndesanjo said…
Kazonta,
mzee wa kimya wewe, sio?
At 2:33 PM EAT,
Reginald S. Miruko said…
ndo zako, we endelea kula ya mbuzi tu, sie tundunda kwenda mbele...
Post a Comment
<< Home