Wamekula ya Mbuzi ...Wanaota Mapembe

Migogoro mingi katika bara la Afrika hutokea kwa sababu ya Madaraka, Viongozi wengi wanapotaka kuingia madarakani hutoa ahadi zenye kuvutia kwa wananchi wao lakini mara wanapoingia madarakani utamu wa madaraka huwazidi na kujikuta wakijaribu kadri wawezavyo kubadilisha Katiba ili waendelee kuongoza. Hali ambayo huzusha migogoro. Ama kweli "Wamekula ya Mbuzi sasa Wanaota Mapembe".

Monday, October 30, 2006

Kimya kingi

Nilikuwa katika safari ndefu ya kutembelea mashamba yangu ya huko Kapunga ambayo serikali ilitaka kutoa zawadi kwa mwekezaji, lakini kwa sasa nimerudi na niko fiti kwa ajili ya kuendela na kijiwe changu.

pia nawaomba radhi wasomaji wangu kwa kuwa nimekuwa kimya kwa muda huo wote bila kuwaletea mpya zozote katika kona yangu.

5 Comments:

Post a Comment

<< Home